Novemba 16 Siku ya Kimataifa
ya Uvumilivu (ustahimilivu)

Mwaka wa 1996, Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa ulialika wanachama wa Shirika la Mataifa kuchunguza Siku ya Kimataifa ya uvumilivu tarehe 16 Novemba, kwa shughuli zilizowekwa kwa wenye madaraka ya elimu na kwa wananchi wote kwa ujumla.

Hati ya matokeo ya Mkutano wa Dunia wa mwaka wa 2005 (A/RES/60/1) ulizidisha dhamira ya Viongozi wa Mataifa na Serikali kuendeleza ustawi wa jamii, uhuru na uendeleaji kote, pia kuhamasisha uvumilivu, heshima, mazungumzo na ushirikiano kati ya tamaduni, ustaarabu wa watu mbalimbali.

Kuanzia mwaka 2014 kuendelea, Wizara ya Tunu na Mambo ya Kidini itaalika watu kutoka sehemu zote za dunia kufika Muscat, watu wanaokuza kimatendo dhana za uvumilivu wa kidini na uelewano wa pande mbili, maingiliano ya amani, na kubadilishana mawanzo na kukuza maono ya kawaida kwa wakati ujao.