AL-TASAMOH, AL-TAFAHOM na Ijtihad Reason

AL-TASAMOH (uvumilivu) na AL-TAFAHOM (uelewano) ni majarida ya utamaduni wa kiarabu, yanayotelewa na Wizare ya Tunu na Mambo ya Kidini.

Mantiki ya Ijtihad ni uchapishaji ambao hudhibitiwa kwa kompyuta "Kituo cha Global Engagement" katika Taasisi ya Maadili ya Kiamerika na gazeti la Al-Tasamoh, Wizara ya Tunu na Mambo ya Kidini, Omani.

Majarida hutolewa ili kupanua mazungumzo katika Uislamu na pia kukuza majadiliano ya kiheshima ya tofauti zo zote zile na dini na tamaduni mbalimbali.